Mshambuliaji wa Simba SC, Frederic Blagnon raia wa Ivory Coast (kulia) akijivuta kupiga shuti mbele ya walinzi wa Mtibwa Sugar, Shaaban Nditi (katikati) na Salim Mbonde (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate akimiliki mpira jana Uwanja wa Uhuru
Mnyate katikati ya wachezaji wa Mtibwa Sugar jana Shamba la Bibi
Kikosi cha Simba SC kilichoanza katika mchezo wa jana
Mfungaji wa bao la kwanza la Simba jana, Ibrahim Hajib akiubusu mpira huku akifuatwa na mshambuliaji mwenzake wa Wekundu hao wa Msimbazu, Laudit Mavugo
Hii ni dua kabla ya mcheo kuomboleza maafa ya tetemeko la ardhi Bukoba mkoani juzi na jana
Soccer legend Fernando Torres makes bizarre appearance at the NFL Draft as
the former Chelsea and Liverpool striker announces the Miami Dolphins'
sixth-round pick from Madrid
-
Soccer legend Fernando Torres made a bizarre surprise appearance at the NFL
Draft, announcing a sixth-round draft pick for the Miami Dolphins. The
former S...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment