Mario Balotelli ameanza vizuri katika klabu yake mpya, Nice baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Marseille, moja la penalti kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa Uwanja wa Allianz Riviera. Bao lingine la Nice lilifungwa na Wylan Cyprien wakati mabao ya Marseille yalifungwa na Florian Thauvin na Bafetimbi Gomis kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment