Mario Balotelli ameanza vizuri katika klabu yake mpya, Nice baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Marseille, moja la penalti kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa Uwanja wa Allianz Riviera. Bao lingine la Nice lilifungwa na Wylan Cyprien wakati mabao ya Marseille yalifungwa na Florian Thauvin na Bafetimbi Gomis kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Odell Beckham Jr., Ryan Tannehill Best Landing Spots After 2024 NFL Draft
Day 2
-
The NFL draft will be over in one day, and attention will turn toward the
other parts of the preseason calendar, such as offseason workouts and the
schedule…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment