Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia hat trick timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 ya England katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Norway usiku wa jana kuwania tiketi ya Euro 2017. Mabao mengine ya England yalifungwa na Nathaniel Chalobah, Ruben Loftus-Cheek na Lewis Baker, wakati la kufutia machozi la Norway lilifungwa na Ghayas Zahid mjini Colchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool are 'set to lose another key staff member at the end of the
season' - with coach joining Jurgen Klopp and others in leaving Anfield
-
Liverpool are set to lose another key member of the club's coaching
department at the end of the season as Jurgen Klopp confirmed his plans to
leave Anfiel...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment