Hiki ndicho cha Simba SC katika msimu wa kwanza wa kocha Mkenya, James Aggrey Siang’a aliyeariki dunia juzi usiku kwao, Kenya. Kutoka kulia waliosimama ni Shekhan Rashid, Boniface Pawasa, Suleiman Matola, Geoffrey Mhando, Madaraka Suleiman na Joseph Kaniki. Waliochuchumaa ni Sekelo Barnabas, Qureish Ufunguo, Mwameja Mohammed na Steven Mapunda ‘Garrincha’. Ambaye amekatwa ni Nteze John. Kikosi hiki kilitwaa mataji matatu mwaka 2002, Kombe la Tusker, Ligi ya Muungano na Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, sasa Kombe la Kagame
Tinubu calls for move from policy to practice at AfCFTA Digital Trade Forum
2026
-
President Bola Tinubu has welcomed African policymakers, innovators,
investors, entrepreneurs and private‑sector leaders to Lagos as Nigeria
hosts the Af...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment