Hiki ndicho cha Simba SC katika msimu wa kwanza wa kocha Mkenya, James Aggrey Siang’a aliyeariki dunia juzi usiku kwao, Kenya. Kutoka kulia waliosimama ni Shekhan Rashid, Boniface Pawasa, Suleiman Matola, Geoffrey Mhando, Madaraka Suleiman na Joseph Kaniki. Waliochuchumaa ni Sekelo Barnabas, Qureish Ufunguo, Mwameja Mohammed na Steven Mapunda ‘Garrincha’. Ambaye amekatwa ni Nteze John. Kikosi hiki kilitwaa mataji matatu mwaka 2002, Kombe la Tusker, Ligi ya Muungano na Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, sasa Kombe la Kagame
Canterbury Bulldogs star Sam Hughes disciplined for contact with female
referee
-
Bulldogs star Sam Hughes could find himself disciplined after appearing to
make contact with NRL referee Kasey Badger on Saturday.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment