Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akimlamba chenga kiungo wa PSG, Grzegorz Krychowiak katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Sanchez dakika ya 77, baada ya Edinson Cavani kutangulia kuifungia PSG dakika ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Examining Bucks' Salary Cap, Decisions for 2024 NBA Free Agency After
Playoff Loss
-
It was a strange season for the Milwaukee Bucks, which ended with a
first-round playoff exit against the Indiana Pacers. In January, general
manager Jon Ho...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment