Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Southampton dakika za 28, 57 na 68 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Manchester City Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo. Bao lingine la Watakatifu limefungwa na Shane Long dakika ya 25, wakati ya City yamefungwa na Mnigeria Kelechi Promise Iheanacho dakika za 44 na 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's ENTIRE squad 'is up for sale' - with just THREE players named
as 'off limits' - and club will listen to offers for Marcus Rashford as
they face having to sell to make big signings
-
The club's new hierarchy, led by co-owner Sir Jim Ratcliffe and incoming
CEO Omar Berrada, are prepared to be brutal with potential outgoings at the
end of...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment