Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale akipiga shuti linalombabatiza beki wa Manchester City, Fernando na kuipatia timu yake bao pekee la ushindi Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 1-0 baada ya awali kutoa sare ya 0-0 mjini Manchester na sasa watakutana na mahasimu wao, Atletico Madrid Uwanja wa San Siro mjini Milan Mei 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment F1 TV presenter confuses VIP for Patrick Mahomes on Miami
Grand Prix grid walk for the SECOND time
-
Martin Brundle has wrongly identified Patrick Mahomes once again, as the F1
commentator believed the Dolphins' Jaelan Phillips to be the Chiefs
quarterback.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment