Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard (kushoto) akifumua shuti la nguvu kuisawazishia timu yake usiku wa Jumatatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Tottenham Hotspur Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Gary Cahill, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane na Son Heung-min na kwa sare hiyo Leicester City wanakuwa mabingwa wapya wa England kwani pointi zao 77 haziwezi tena kufikiwa na Spurs PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Syrian government confirms detention of missing German journalist
-
The Syrian government confirmed Thursday that a German journalist who went
missing months ago is detained in Syria. Eva Maria Michelmann, 36, was last
seen...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment