Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard (kushoto) akifumua shuti la nguvu kuisawazishia timu yake usiku wa Jumatatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Tottenham Hotspur Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Gary Cahill, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane na Son Heung-min na kwa sare hiyo Leicester City wanakuwa mabingwa wapya wa England kwani pointi zao 77 haziwezi tena kufikiwa na Spurs PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Kent breaks his silence after being charged over alleged street fight
and opens up about serious injuries he suffered when he was thrown into a
tree
-
On Wednesday morning Kent (pictured) returned to the same home where he was
treated by a doctor on Sunday. His lawyer said the commentator had been
hospita...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment