Kipa wa Simba SC, Athumani Mambosasa (marehemu) akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10 mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Yanga SC ilishinda 2-1, mabao ya Gibson Sembuli (marehemu) na Sunday Manara, huku bao pekee la Simba SC likifungwa na Adam Sabu (marehemu). Inaaminika Mambosasa ndiye kipa bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania hadi sasa.
Former Arsenal wonderkid 'attempted to force tenants out by peering through
living room blinds and moving in with his family' - as he is accused in
court of making their lives 'hell'
-
McGregor, who moved into the home with her mum, Fay, revealed the former
Arsenal wonderkid, who was present in court, had made her life 'hell'.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment