Kipa wa Simba SC, Athumani Mambosasa (marehemu) akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10 mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Yanga SC ilishinda 2-1, mabao ya Gibson Sembuli (marehemu) na Sunday Manara, huku bao pekee la Simba SC likifungwa na Adam Sabu (marehemu). Inaaminika Mambosasa ndiye kipa bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania hadi sasa.
Gary Neville names a VERY different top five Premier League midfielders to
'biased' Jamie Carragher
-
Gary Neville and Jamie Carragher don't often see eye-to-eye and that was
apparent with the pair naming their greatest-ever Premier League
midfielders.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment