Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Las Palmas katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Gran Canaria. Bao lingine la Barca lilifungwa na Neymar, wakati la wenyeji limefungwa na Willian Jose Da Silva PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Melbourne star Ben Brown explains the bizarre reason he has always worn the No.50 guernsey
-
Many sports stars choose a jersey number because of family, superstition or
sentimental reasons. But Melbourne Demons star Ben Brown made a very choice
whe...
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni