Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Q1 Rundown: Genesco (NYSE:GCO) Vs Other Consumer Discretionary - Footwear
Stocks
-
As the craze of earnings season draws to a close, here’s a look back at
some of the most exciting (and some less so) results from Q1. Today, we are
looking...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment