Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephen Curry to have a dedicated exhibit at the Basketball Hall of Fame, a
1st for an active player
-
Stephen Curry is headed to the Hall of Fame, making more basketball history
with a first-of-its-kind exhibit for an active player. Stephen Curry:
Beyond th...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment