Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Can Scotland's risk takers prevent Grand Slam procession for France?
-
"It's a Grand Slam or disappointment" for France, writes Tom English as
fellow risk takers Scotland bid to keep their own title hopes alive at
Murrayfield.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment