Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
President Trump sides with MLB owners in CBA fight with union: 'If you
don’t have a salary cap you don’t have a sport'
-
The president said "I know so much about sports" before changing the
subject to college sports.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment