Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hailey Van Lith Denies TCU Transfer Rumor, Says She's 'Very Close' to
Portal Decision
-
Hailey Van Lith might not be bound for TCU after all. The former LSU guard
told Doug Feinberg of The Associated Press she is "very close" to a
decision but…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment