Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emma Raducanu turns to Andy Murray's former coach Jamie Delgado following French Open exit
-
EXCLUSIVE BY MIKE DICKSON AT ROLAND GARROS: Emma Raducanu is considering a
temporary link-up with Andy Murray's former coach Jamie Delgado for the
grass-co...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni