Mshambuliaji kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika aa 29 na 32 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la Mashetani Wekundu limefungwa na Ander Herrera dakika ya 65, wakati ya Washika Bundukin wa London yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 40 na Mesut Ozil dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Nketiah closing on Arsenal contract extension
-
Arsenal striker Eddie Nketiah is close to committing his long-term future
to the north-London club. Nketiah is out of contract at the Emirates
Stadium at ...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni