Mshambuliaji kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika aa 29 na 32 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la Mashetani Wekundu limefungwa na Ander Herrera dakika ya 65, wakati ya Washika Bundukin wa London yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 40 na Mesut Ozil dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mathew Cudjoe wins Scottish Championship with Dundee United to seal Premier
League return
-
Matthew Cudjoe and his Dundee United side have clinched the Scottish
Championship title with one match remaining, thereby securing automatic
promotion to t...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment