Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Willian Borges Da Silva (kushoto) akishangilia baada ya kufunga dhidi ya Manchester City dakika ya 48 katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England Uwanja wa Stamford Bridge, London leo. Mabao mengine ya Chelsea inayotinga Robo fainali kwa matokeo hayo yamefungwa na Diego Da Silva Costa dakika ya 35, Gary Cahill dakika ya 53, Eden Hazard dakika ya 67 na Bertrand Traore dakika ya 89, huku la Man City likifungwa na David Faupala dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Q1 Rundown: Genesco (NYSE:GCO) Vs Other Consumer Discretionary - Footwear
Stocks
-
As the craze of earnings season draws to a close, here’s a look back at
some of the most exciting (and some less so) results from Q1. Today, we are
looking...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment