Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya Muargentina huyo kufunga kwa mpira wa adhabu katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca lilifungwa na Gerard Pique, wakati la wageni lilifungwa na Vitolo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
French Open: Iga Swiatek wins 31st consecutive match to reach fourth round by beating Danka Kovinic
-
Swiatek was asked a few questions by Danka Kovinic of Monenegro, the world
No 95, before coming through their third round battle 6-3 7-5.
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni