Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya Muargentina huyo kufunga kwa mpira wa adhabu katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca lilifungwa na Gerard Pique, wakati la wageni lilifungwa na Vitolo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Can Scotland's risk takers prevent Grand Slam procession for France?
-
"It's a Grand Slam or disappointment" for France, writes Tom English as
fellow risk takers Scotland bid to keep their own title hopes alive at
Murrayfield.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment