Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya Muargentina huyo kufunga kwa mpira wa adhabu katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca lilifungwa na Gerard Pique, wakati la wageni lilifungwa na Vitolo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: 5-Star Billy Richmond Commits to Arkansas After John Calipari's
Kentucky Exit
-
After leaving Kentucky to become the new head men's basketball coach at
Arkansas, John Calipari has reportedly succeeded in getting a major recruit
to flip…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment