Kikosi cha Manchester City kilichoifunga mabao 3-1 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana mjini Kiev. Mabao ya City yalifungwa na Sergio-Aguero, David-Silva na Yaya Toure, wakati la Dynamo lilifungwa na Vitaliy Buyalskiy PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Huddersfield to be left like a ghost town on a huge weekend of sport in the capital
-
MIKE KEEGAN: For one weekend only, this part of the Pennines will become a
burglars' paradise as tens of thousands flock to the capital for huge rugby
leag...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni