Mshambuliaji wa Crystal Palace, Emmanuel Adebayor akimuacha chini kiungo wa timu yake ya zamani, Tottenham Hotspur, Mousa Dembele katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane. Palace imeshinda 1-0, bao pekee la Martin Kelly na sasa wanaingia Robo Fainali ya michuano hiyo ya Chama cha Soka England, huku safari ya Spurs ikiishia hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Justin Langer blows up about Cricket Australia's 'bulls**t politics' in emotional speech
-
Three months after his shock resignation as national coach, Justin Langer
has lashed out at Cricket Australia - and especially its interim chairman,
Richar...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni