Mshambuliaji wa Crystal Palace, Emmanuel Adebayor akimuacha chini kiungo wa timu yake ya zamani, Tottenham Hotspur, Mousa Dembele katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane. Palace imeshinda 1-0, bao pekee la Martin Kelly na sasa wanaingia Robo Fainali ya michuano hiyo ya Chama cha Soka England, huku safari ya Spurs ikiishia hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA star reveals cause of dramatic weight gain after fans were left stunned
by recent pictures
-
Injured Indiana Pacers star Tyrese Haliburton revealed the cause behind his
shocking weight gain that had NBA fans concerned for his health.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment