MABINGWA wa Afrika, TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wataanza kutetea taji lao kwa kumenyana na St George ya Ethiopia katika hatua ya timu 32 Bora.
Timu hiyo ya mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu itaanzia ugenini Machi 11, mwaka huu kabla ya kurudiana mjini Lubumbashi, wiki moja baadaye.
Timu hiyo ya mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu itaanzia ugenini Machi 11, mwaka huu kabla ya kurudiana mjini Lubumbashi, wiki moja baadaye.
![]() |
Thomas Ulimwengu ataanza kutetea taji la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ST George |
RATIBA KAMILI 32 BORA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Jumamosi Machi, 2016 |
Warri Wolves | v | El Merreikh | TBC | ||
Olympique Khouribga | v | ES Sahel | TBC | ||
Stade Malien | v | Coton Sport FC | TBC | ||
US Douala | v | Zamalek | TBC | ||
AS Vita Club | v | Clube Ferroviário de Maputo | TBC | ||
APR FC | v | Young Africans | TBC | ||
St. George | v | TP Mazembe | TBC |
Jumapili Machi 13, 2016 |
Mamelodi Sundowns | v | AC Leopards | TBC | ||
Zesco United | v | Horoya A.C | TBC | ||
Club Africain | v | MO Béjaïa | TBC | ||
Etoile du Congo | v | ES Setif | TBC | ||
Recreativo do Libolo | v | Al Ahly | TBC | ||
Ahly Tripoli | v | El Hilal | TBC |
0 comments:
Post a Comment