Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu na Radja Nainggolan wa AS Roma katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Olimpico mjini Roma, Itali. Real imeshinda 2-0 mabao ya Ronaldo na Jese Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kimora Lee Simmons Makes Big Mistake In Custody Request Amid Ongoing Divorce
-
Kimora Lee Simmons nearly gave up her custody rights to her estranged
husband, Tim Leissner. The former couple tied the The Kimora Lee Simmons
Makes Big Mi...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment