Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Los Carmenes. Bao lingine la Real lilifungwa na Luka Modric dakika ya 85, wakati la wenyeji limefungwa na Youssef El-Arabi dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The incredible comeback of footy player who lost his eye and part of his
skull in horrific on-field incident
-
Suburban AFL player Michael Pisker won't forget the July 2024 clash
against University Blues anytime soon - and with good reason.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment