Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Los Carmenes. Bao lingine la Real lilifungwa na Luka Modric dakika ya 85, wakati la wenyeji limefungwa na Youssef El-Arabi dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Panthers FA DJ Chark to Sign 1-Year Contract with Jim Harbaugh,
Chargers
-
The Los Angeles Chargers and free agent wide receiver DJ Chark have agreed
to a one-year deal worth up to $5 million, per Ian Rapoport of NFL Network.
The…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment