CHELSEA imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya England baada ya jioni ya leo kuichapa mabao 2-1 Crystal Palace.
Kila timu ilipoteza mchezo mmoja kwa kadi nyekundu, Chelsea Azpilicueta dakika ya 40 na Palace Delaney dakika ya 43.
Mabao ya Chelsea leo yamefungwa na Oscar dakika ya pili na Cesc Fabregas dakika ya 51, wakati bao pekee la Palace limefungwa na Campbell dakika ya 90.
Kikosi cha Crystal Palace kilikuwa: Speroni, Kelly, Hangeland, Delaney, Ward, McArthur, Jedinak, Ledley, Puncheon, Campbell na Bolasie.
Chelsea: Courtois, Ivanovic, Terry, Cahill, Azpilicueta, Matic, Fabregas, Willian, Oscar, Hazard, Remy.
Kila timu ilipoteza mchezo mmoja kwa kadi nyekundu, Chelsea Azpilicueta dakika ya 40 na Palace Delaney dakika ya 43.
Mabao ya Chelsea leo yamefungwa na Oscar dakika ya pili na Cesc Fabregas dakika ya 51, wakati bao pekee la Palace limefungwa na Campbell dakika ya 90.
Kikosi cha Crystal Palace kilikuwa: Speroni, Kelly, Hangeland, Delaney, Ward, McArthur, Jedinak, Ledley, Puncheon, Campbell na Bolasie.
Chelsea: Courtois, Ivanovic, Terry, Cahill, Azpilicueta, Matic, Fabregas, Willian, Oscar, Hazard, Remy.
Fabregas leo ameifungia Chelsea ikiendeleza wimbi la ushindi Ligi Kuu ya England |
0 comments:
Post a Comment