AZAM Veterans jana imeifunga mabao 4-3 Mbade FC katika mchezo maalum wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Mechi hiyo iliandaliwa na Azam TV kwa ajili ya kujaribu taa mpya zilizofungwa kwenye Uwanja huo ambao unatumiwa na kikosi cha kwanza cha Azam FC kwa mechi zake za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mabao ya Azam Veterans katika mchezo huo yamefungwa na Khalfan Khalfan na Abdulkarim Amin ‘Popat’ kila mmoja mawili.
Mechi hiyo iliandaliwa na Azam TV kwa ajili ya kujaribu taa mpya zilizofungwa kwenye Uwanja huo ambao unatumiwa na kikosi cha kwanza cha Azam FC kwa mechi zake za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mabao ya Azam Veterans katika mchezo huo yamefungwa na Khalfan Khalfan na Abdulkarim Amin ‘Popat’ kila mmoja mawili.
![]() |
Kikosi cha Azam Veterans; Picha ya Maktaba |
0 comments:
Post a Comment