![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FCm Kipre Tchetche akimtoka beki wa Burundi |
![]() |
| Shomary Kapombe akichezewa rafu na beki wa Atlabara |
![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, Leonel Saint-Preux akimtoka beki wa Atlabara |
![]() |
| Kipa wa Atlabara, Jacko Mpenzi akidaka mpira wa juu mbele ya mabeki wake na wachezaji wa Azam |
![]() |
| Kipre Tchetche alikuwa mwiba kwa safu ya ulinzi ya Atlabara jana, lakini akashindwa kufunga tu |
![]() |
| Kiungo wa Azam FC, Himid Mao akipambana na kiungo wa Sudan katikati ya Uwanja |
![]() |
| Kipre Tchetche akimuacha chini beki wa Atlabara |
![]() |
| Kipre Tchetche akimburuza beki wa Atlabara |
![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu akiwa ameruka kupiga kichwa |












.png)
0 comments:
Post a Comment