• HABARI MPYA

    Sunday, February 09, 2014

    DARREN BENT AINYIMA USHINDI MAN UNITED DAKIKA YA MWISHO KABISA OLD TRAFFORD

    BAO la dakika ya mwisho la Darren Bent limeinyima ushindi Manchester United baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 nyumbani Uwanja wa Old Trafford na Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
    Baada ya Fulham kupata bao la kuongoza kupitia kwa Steve Sidwell dakika ya 19, United ilipata mabao mawili ya haraka haraka na kuongoza mchezo kupitia kwa Robin van Persie dakika ya 79 na Michael Carrick 80.
    Matokeo haya yanaifanya United ya David Moyes ijiongezee pointi moja na kufikisha 41 baada ya kucheza mechi 25, ikiendelea kubaki nafasi ya saba. 
    Nafasi ya mwisho: Manchester United ilikomolewa dakika ya mwisho kabisa kwa bao Darren Bent na kulazimishwa sare ya 2-2 na FulhamPlenty to ponder: David Moyes heads for the dressing-room after seeing United fail to win at home for the eighth time this season
    Mambo magumu: David Moyes kichwa kinamuuma United pamoja na jitihada zote ikiwemo kumsajili Juan Mata kutoka Chelsea, lakini mambo bado magumu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DARREN BENT AINYIMA USHINDI MAN UNITED DAKIKA YA MWISHO KABISA OLD TRAFFORD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top