![]() |
| Beki wa Ferroviario, Abrao Cufa akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji wa Azam FC, Mganda Brian Umony |
![]() |
| Beki wa Azam FC, Malika Ndeula hapa alifanikiwa kuruka kwanja la beki wa Ferroviario, Edson Morais na kupiga krosi |
![]() |
| Kipre Tchetche hapa alimpiga chenga kali beki huyu wa Ferroviario, Abrao Cufa |
![]() |
| Kipre Tchetche akiwatoka mabeki wa Ferroviario |
![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor' kushoto akitafuta mbinu za kumtoka Edson Morais wa Ferroviario |
![]() |
| Kiungo wa Ferroviario, Manuel Fernandes na Himid Mao wa Azam kulia |
![]() |
| Mashabiki wa Azam kwa raha zao |
![]() |
| Walikuwepo; Wachezaji Shomary Kapombe wa AC Cannes ya Ufaransa kulia na Mrisho Ngassa wa Yanga SC nyuma yake walikuwepo leo Chamazi |
![]() |
| Walikuwepo pia; Wachezaji wa Yanga SC, kutoka kulia kipa Juma Kaseja na washambuliaji Waganda Emmanuel Okwi na Hamisi Kiiza walikuwepo leo Chamazi |
![]() |
| Kikosi cha ushindi; Kikosi cha kwanza cha Azam leo |
![]() |
| Wapinzani wagumu; Kikosi cha kwanza cha Ferroviario de Beira leo |














.png)
0 comments:
Post a Comment