• HABARI MPYA

    Sunday, February 09, 2014

    ADEBAYOR AING'ARISHA SPURS ENGLAND

    BAOI pekee la Emmanuel Adebayor dakika ya 65 limeipa ushindi muhimu wa 1-0 Tottenham dhidi ya Everton katika vita ya kuwania kumaliza ndani ya ne bora Ligi Kuu England.
    Spurs sasa inatimiza pointi 47 baada ya kucheza mechi 25 na inakaa katika nafasi ya tano, nyuma ya Liverpool yenye pointi 50,ambayo jana imeifunga Arsenal 5-1.
    Tuheshimiane: Emmanuel Adebayor amefunga bao la sita katika mechi tisa dhidi ya Everton leo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ADEBAYOR AING'ARISHA SPURS ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top