Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam na mikoani
MBEYA City imezinduka jioni ya leo baada ya kuilaza mabao 2-1 Mtibwa Sugar Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Peter Michael dakika ya pili na Hamad Kibopile dakika ya 67, wakati la Mtibwa limefungwa na Jamal Mnyate dakika ya 53.
Mbeya City sasa wanatimiza pointi 34 na kurejea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu, nyuma ya Yanga SC pointi 35 na Azam FC 36.
MBEYA City imezinduka jioni ya leo baada ya kuilaza mabao 2-1 Mtibwa Sugar Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Peter Michael dakika ya pili na Hamad Kibopile dakika ya 67, wakati la Mtibwa limefungwa na Jamal Mnyate dakika ya 53.
Mbeya City sasa wanatimiza pointi 34 na kurejea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu, nyuma ya Yanga SC pointi 35 na Azam FC 36.



.png)
0 comments:
Post a Comment