| Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akimkabidhi jezi maalum kutoka klabu ya Manchester United ya England, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi baada ya uzinduzi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa, ambayo itawawezesha watumiani wa mtandao wa Airtel kujishindia safri za kwenda kushuhudia mechi za klabu hiyo moja kwa moja nchini England. Hafla hiyo ya uzinduzi wa ushirikiano wa Man United na Airtel Tanzania ilifanyika hoteli ya Hyatt Regency, zamani Kilimanjaro Kempinsky, Dar es Salaam. |
0 comments:
Post a Comment