Mshambuliaji Muargentina, Odion Ighalo akiwa ameshika jezi ya Manchester United baada ya kutimiza ndoto za kujiunga nayo kwa mkopo kwa dau la Pauni Milioni 4 kutoka Shanghai Shenhua ya China. Ighalo ambaye amesema yeye ni 'shabiki kufa' wa United tangu akiwa mdogo kwao, Nigeria enzi hizo klabu hiyo inaongozwa na mshambuliaji, Andy Cole atakuwa analipwa Pauni 165,000 kwa wiki, nusu tu ya mshahara wake wa China, Paun 330,000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Taylor Swift approves of the Chiefs picking Xavier Worthy
as Travis Kelce's girlfriend likes a video of Kansas City's new star being
selected
-
The pop sensation - and Travis Kelce 's girlfriend - has become an avid
Chiefs fan in recent months thanks to her high-profile relationship with
the Super ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment