Mshambuliaji Muargentina, Odion Ighalo akiwa ameshika jezi ya Manchester United baada ya kutimiza ndoto za kujiunga nayo kwa mkopo kwa dau la Pauni Milioni 4 kutoka Shanghai Shenhua ya China. Ighalo ambaye amesema yeye ni 'shabiki kufa' wa United tangu akiwa mdogo kwao, Nigeria enzi hizo klabu hiyo inaongozwa na mshambuliaji, Andy Cole atakuwa analipwa Pauni 165,000 kwa wiki, nusu tu ya mshahara wake wa China, Paun 330,000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Senegal FA chief Augustin Senghor reveals why he is favourite for CAF Presidential election
-
Senegalese experienced football administrator Augustin Senghor has declared
that he is the favorite to win the upcoming Confederation of African
Football (...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment