• HABARI MPYA

    Saturday, October 12, 2019

    RONALDO AFUNGA BAO LA 699 URENO IKIICHAPA LUXEMBOURG 3-0

    MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 65, likiwa 699 jumla kwake kufunga pamoja na mechi za klabu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya  Luxembourg usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Goncalo Guedes dakika ya 89 Uwanja wa Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA BAO LA 699 URENO IKIICHAPA LUXEMBOURG 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top