Bernardo Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Manchester City ikiilaza 1-0 Chelsea usiku wa Jumapili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Ushindi huo unamfanya Pep Guardiola aongoze mbio za ubingwa kwa pointi 18 zaidi huku zikiwa zimebaki mechi tisa kukamilisha msimu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction and Draft Night 1
Highlights
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on April 26. To
coincide with the NFL draft, WWE began its own version on Friday to
determine who…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment