Kocha Arsene Wenger (kushoto) akisikitika baada ya timu yake, Arsenal kuchapwa mabao 2-1 na wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussex. Mabao ya Brighton & Hove Albion yamefungwa na Lewis Dunk dakika ya saba na Glenn Murray dakika ya 26, kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuifungia Arsenal dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Invincibles This Week: Two draws, but two to go...
-
Take a look at what was going on around the world and on the pitch 20 years
ago this week during our Invincibles campaign
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment