• HABARI MPYA

    Wednesday, January 31, 2018
    MTIBWA SUGAR, PRISONS, MAJI MAJI NAZO ZATINGA 16 BORA AZAM SPORTS FEDERATION

    MTIBWA SUGAR, PRISONS, MAJI MAJI NAZO ZATINGA 16 BORA AZAM SPORTS FEDERATION

    Na Mwandishi Wetu, LINDI TIMU ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kwenda hatua ya 16 Bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup baada ya ushin...
    TFF YAJISAFISHA MADAI YA KUTOZILIPA TIMU FEDHA ZA UDHAMINI AZAM SPORTS FEDERATION CUP

    TFF YAJISAFISHA MADAI YA KUTOZILIPA TIMU FEDHA ZA UDHAMINI AZAM SPORTS FEDERATION CUP

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesikitishwa na kauli iliyotolewa na golikipa wa timu ya Shupavu ya M...
    OZIL AKUBALI KUJITIA PINGU ARSENAL KWA MIAKA MITATU MINGINE

    OZIL AKUBALI KUJITIA PINGU ARSENAL KWA MIAKA MITATU MINGINE

    KIUNGO mshambuliaji Mesut Ozil amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki. Mch...
    PERRE-EMERICK AUBAMEYANGA NI MCHEZAJI MPYA WA ASRENAL

    PERRE-EMERICK AUBAMEYANGA NI MCHEZAJI MPYA WA ASRENAL

    KLABU ya Arsenal imekamilisha uhamisho wa rekodi wa Pauni Milioni 56 wa mshambuliaji  Pierre-Emerick Aubameyang  kutoka  Borussia Dortmun...
    ARSENAL YATHIBITISHA KWA 'BAHATI MBAYA' KUMSAJILI AUBAMEYANG

    ARSENAL YATHIBITISHA KWA 'BAHATI MBAYA' KUMSAJILI AUBAMEYANG

    KLABU ya Arsenal kwa 'bahati mbaya' imejikuta ikithibitisha kumsajili mshambuliaji  Pierre-Emerick Aubameyang  baada ya kuposti ki...
    MTIBWA SUGAR WANA KAZI NA MAJI MAJI YA LINDI ILULU, ‘TP LINDANDA’ NA STAND UNITED KIRUMBA

    MTIBWA SUGAR WANA KAZI NA MAJI MAJI YA LINDI ILULU, ‘TP LINDANDA’ NA STAND UNITED KIRUMBA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM HATUA ya 32 Bora ya michuano ya Azam Sports Federetion Cup (ASFC) inaendelea leo kwa mechi sita zaidi kuc...
    SAMATTA AREJEA NA PASI YA BAO GENK YAFUNGWA 3-2 KOMBE LA UBELGIJI

    SAMATTA AREJEA NA PASI YA BAO GENK YAFUNGWA 3-2 KOMBE LA UBELGIJI

    Na Mwandishi Wetu, GENK MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta jana ametoa pasi ya bao la kwanza la timu yake, KRC Genk iki...
    LIVERPOOL YAIKANDAMIZA HUDDERSFIELD TOWN 3-0 LIGI KUU ENGLANG

    LIVERPOOL YAIKANDAMIZA HUDDERSFIELD TOWN 3-0 LIGI KUU ENGLANG

    Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji,  Huddersfield Town U...
    ARSENAL TAABANI LIBERTY...WAFUMULIWA 3-1 KAMA WAMESIMAMA

    ARSENAL TAABANI LIBERTY...WAFUMULIWA 3-1 KAMA WAMESIMAMA

    Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud na Aaron Ramsey wakiwa wanyonge baada ya kufungwa bao la tatu na Swansea City katika mchezo wa Ligi ...
    Tuesday, January 30, 2018
    ROSTAND AIPELEKA YANGA 16 BORA KOMBE LA AZAM SPORTS FEDERATION

    ROSTAND AIPELEKA YANGA 16 BORA KOMBE LA AZAM SPORTS FEDERATION

    Na Gwamaka Mwankota, MBEYA KIPA Mcameroon, Youthe Rostand leo ameibuka shujaa wa Yanga baada ya kupangua penalti tatu na kuiwezesha kuingi...
    PETER APIGA HAT TRICK AZAM FC YAITANDIKA SHUPAVU 5-0 ASFC MOROGORO

    PETER APIGA HAT TRICK AZAM FC YAITANDIKA SHUPAVU 5-0 ASFC MOROGORO

    Na Mwandishi Wetu, MOROGORO AZAM FC imetinga hatua ya 16 Bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa 4-0 dhi...
    Monday, January 29, 2018

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top