Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Bernard Arthur akiondoka na mpira katika mazoezi ya timu hiyo jana asubuhi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Bernard Arthur amekuwa kivutio katika mazoezi ya Azam FC tangu awasili wiki iliyopita
Bernard Arthur (kushoto) akikimbia na wenzake Azam Complex, Chamazi
Bernard Arthur hapa akifanya mazoezi ya gmy ndani ya Azam Complex
Wachezaji wengine wa Azam FC wanaendelea na mazoezi pia na hapa wakiwa kwenye bwawa la kuogelea la Azam Complex
Phil Foden has flourished under Pep Guardiola's new tactics, delivered on
the biggest occasions and SMASHED his best ever goal tally... how the
England star went from supporting cast to Man City's main man
-
Phil Foden is now Manchester City's leading man, firing the Premier League
giants to a record fourth successive title and heavy favourite for PFA
Player of...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment