Nicolas Otamendi akiwapigia saluti mashabiki baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 54 ikiwalaza wenyeji, Manchester United 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Ole Trafford leo. David Silva alianza kuifungia Man City dakika ya 43, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 45 na sasa Pep Guardiola anamzidi Jose Mourinho pointi 11 kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL GM Confused by Falcons' Michael Penix Jr. Draft Pick, Says Team Has
'Needs Now'
-
Most head coaches and general managers spoken to by The Athletic's Dianna
Russini believe the Atlanta Falcons' No. 8 pick of quarterback Michael
Penix Jr. ...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment