Nicolas Otamendi akiwapigia saluti mashabiki baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 54 ikiwalaza wenyeji, Manchester United 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Ole Trafford leo. David Silva alianza kuifungia Man City dakika ya 43, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 45 na sasa Pep Guardiola anamzidi Jose Mourinho pointi 11 kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Howe outlines challenge for his Newcastle players after Champions
League draw with Barcelona
-
Eddie Howe urged his Newcastle side to replicate the levels of their
performance against Barcelona on a more consistent basis.Newcastle led
through Harvey ...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment