Nicolas Otamendi akiwapigia saluti mashabiki baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 54 ikiwalaza wenyeji, Manchester United 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Ole Trafford leo. David Silva alianza kuifungia Man City dakika ya 43, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 45 na sasa Pep Guardiola anamzidi Jose Mourinho pointi 11 kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi, Luis Suarez, Sergio Busquets and Jordi Alba step out to
attend Heat's playoff game vs. Celtics... as the Inter Miami captain is
joined by his son Mateo in the stands
-
Inter Miami's Lionel Messi, Luis Suarez, Sergio Busquets and Jordi Alba
supported a fellow South Florida franchise on Monday night as they attended
the Mia...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment