Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akienda hewani kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiilaza 3-2 Deportivo la Coruna usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morato dakika ya 50 na Mariano Diaz dakika ya 84, wakati ya wageni yalifungwa na Jose Luis 'Joselu' yote dakika za 63 na 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: Magpies are NOT demanding £15-20m from Man United to
end Dan Ashworth's gardening leave... and several players are 'furious'
over prospect of draining post-season trip to Australia
-
CRAIG HOPE:If the FA do introduce new rules banning far-flung end-of-season
friendlies on the grounds of player welfare, it will be welcomed by
sections of...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment