Beki Mholanzi, Nathan Ake kinda wa umri wa miaka 21 anayecheza kwa mkopo AFC Bournemouth kutoka Chelsea kimuonekano ni kama Ruud Gullit, lakini kiuchezaji ni kama Frank Rijkaard, magwiji wa zamani wa Uholanzi. Kijana huyo amekuwa gumzo baada ya kufunga bao la ushindi Jumapili Bournemouth ikiifunga 4-3 Liverpool katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U23 will zu Hause gegen Aue nachlegen
-
Borussia Dortmunds U23 ist seit zwei Spielen ungeschlagen, am vergangenen
Wochenende gelang ein 5:0-Sieg beim VfB Lübeck. Am Samstag soll der nächste
Sieg ...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment