Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimlamba chenga kipa wa AFC Bournemouth, Artur Boruc kuwafungia bao la kwanza Wekundu hao wakilala 4-3 Uwanja wa Vitality leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Divock Origi na Emre Can wakati ya wenyeji yalifungwa na Callum Wilson kwa penalti, Ryan Fraser, Steve Cook na Nathan Ake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Portsmouth fans spread HUMAN ASHES on their pitch in a
mid-pitch-invasion ceremony... killing the grass and leaving it damaged for
their last game of the season
-
Thousands of jubilant Pompey fans raced onto the pitch after a 3-2 win over
Barnsley on April 16 took the club up into the Championship.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment