// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LIVERPOOL YAICHAPA BRENTFORD 1-0 ANFIELD BAO LA SALAH - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELIVERPOOL YAICHAPA BRENTFORD 1-0 ANFIELD BAO LA SALAH - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LIVERPOOL YAICHAPA BRENTFORD 1-0 ANFIELD BAO LA SALAH
WENYEJI, Liverpool FC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Brentford FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield Jijini Liverpool. Bao pekee la Wekundu hao limefungwa na mshambuliaji wa Kimataifa wa Misri, Mohamed Salah dakika ya 13, akimalizia pasi ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk. Kwa ushindi huo, timu ya kocha Mjerumani, Jurgen Klopp inafikisha pointi 59 na kusogea nafasi ya tano, wakati Brentford inabaki na pointi zake 50 nafasi ya tisa baada ya wote kucheza mechi 34.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment