• HABARI MPYA

    Thursday, May 04, 2023

    KASHFA YA RUSHWA CHAMPIONSHIP YAWAHUSU ULIMBOKA NA KITUMBO


    MKURUGENZI wa timu ya Kitayosce, Yusuph Kitumbo anatuhumiwa kutaka kutoa hongo kwa wachezaji wa Fountain Gate katika mchezo wa Ligi ya Championship kupitia kwa aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Ulimboka Mwakingwe.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KASHFA YA RUSHWA CHAMPIONSHIP YAWAHUSU ULIMBOKA NA KITUMBO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top