BONDIA Suleiman Kidunda juzi alipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Erick Tshimanga Katompa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kutwaa ubingwa wa WBF Intercontinental uzito wa Super Middle katika pambano lililofanyika Uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.
Katika mapambano ya utangulizi,mkongwe Shaaban Kaoneka alimchapa kwa Knockout Karim Mandonga.
Aidha,George Bonabucha alimchapa Yusuph Ally wa Malawi kwa pointi.
Naye mwanamuziki aliyehamia kwenye ndondi,Khalid Chokoraa alitoka droo na Chiddy Benga
Naye Ezra Paul alimchapa Shaffi Mohamed kwa Knockout.
Richard Keys claims Match Of The Day will be scrapped NEXT: Former Sky
Sports star makes huge prediction as he reveals why BBC have pulled the
plug on Football Focus
-
The BBC announced on Thursday that Football Focus would end after 52 years
at the conclusion of the current season - a decision made amid accusations
the p...
36 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment