BONDIA Suleiman Kidunda juzi alipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Erick Tshimanga Katompa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kutwaa ubingwa wa WBF Intercontinental uzito wa Super Middle katika pambano lililofanyika Uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.
Katika mapambano ya utangulizi,mkongwe Shaaban Kaoneka alimchapa kwa Knockout Karim Mandonga.
Aidha,George Bonabucha alimchapa Yusuph Ally wa Malawi kwa pointi.
Naye mwanamuziki aliyehamia kwenye ndondi,Khalid Chokoraa alitoka droo na Chiddy Benga
Naye Ezra Paul alimchapa Shaffi Mohamed kwa Knockout.
LeBron James Highlights Coco Gauff's TikTok Video at Olympics' Opening
Ceremonies
-
During the 2024 Olympic Opening Ceremony in Paris on Friday, LeBron James
starred in a video shared to TikTok from tennis star Coco Gauff. The video
shows…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment