KLABU ya Yanga imemtambulisha mchezaji mpya wa pili, mshambuliaji Yussuf Athumani kutoka Biashara United ya Mara.
Chipukizi huyo anamfuatia mshambuliaji mwingine, Mkongo, Fiston Kalala Mayele kutoka AS Vita ya kwao, Kinsahsa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) aliyetambulishwa jana.GONGA HAPA KUTAZAMA VIDEO
Chipukizi huyo anamfuatia mshambuliaji mwingine, Mkongo, Fiston Kalala Mayele kutoka AS Vita ya kwao, Kinsahsa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) aliyetambulishwa jana.GONGA HAPA KUTAZAMA VIDEO
0 comments:
Post a Comment