Nyota mdogo, Ansu Fati akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika ya 30 na 31 mara zote akimalizia pasi za Lionel Messi timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante, ambayo bao lake lilifungwa na Ruben Rochina usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Fati aliyezaliwa Guinea-Bissau Oktoba 31, 2002 ambaye sasa ana uraia wa Hispania, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi (miaka 17) kufunga mabao mawili katika mechi moja ya La Liga kihistoria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ilia Topuria vs. Justin Gaethje to headline UFC White House event
-
The co-main event will be Alex Pereira vs. Cyril Gane for the UFC interim
heavyweight title for the hotly anticipated event that will be part of a
celebrat...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment