Nyota mdogo, Ansu Fati akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika ya 30 na 31 mara zote akimalizia pasi za Lionel Messi timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante, ambayo bao lake lilifungwa na Ruben Rochina usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Fati aliyezaliwa Guinea-Bissau Oktoba 31, 2002 ambaye sasa ana uraia wa Hispania, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi (miaka 17) kufunga mabao mawili katika mechi moja ya La Liga kihistoria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rome Odunze, Michael Penix Jr., More Sign Adidas Contracts Before 2024 NFL
Draft
-
Prior to the start of the 2024 NFL draft on Thursday, Adidas announced that
it signed four potential first-round picks to endorsement deals. Washington
wide…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment