Nyota mdogo, Ansu Fati akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika ya 30 na 31 mara zote akimalizia pasi za Lionel Messi timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante, ambayo bao lake lilifungwa na Ruben Rochina usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Fati aliyezaliwa Guinea-Bissau Oktoba 31, 2002 ambaye sasa ana uraia wa Hispania, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi (miaka 17) kufunga mabao mawili katika mechi moja ya La Liga kihistoria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roberto De Zerbi sends defiant message to relegation rivals West Ham after
Tottenham's first win in 118 days - but admits fears over Dominic Solanke
and Xavi Simons injuries
-
De Zerbi was not entirely satisfied with the performance at Wolves and
thought the long winless run ate away at confidence when his team failed to
capitali...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment