Raphael Varane akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 34 na 53 kabla ya Luka Modric kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez, hivyo kurejea kileleni sasa wakiizidi pointi moja Barcelona ambayo usiku huu inamenyana na Espanyol PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer fresh blow as Enzo Fernandez will MISS the rest of the
season with groin injury... with £107m midfielder to undergo surgery to be
fit in time for the Copa America
-
Enzo Fernandez will miss the remainder of the Premier League season after
undergoing surgery to address a groin injury in time for the Copa America.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment