Raphael Varane akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 34 na 53 kabla ya Luka Modric kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez, hivyo kurejea kileleni sasa wakiizidi pointi moja Barcelona ambayo usiku huu inamenyana na Espanyol PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark finally breaks her silence on WNBA's throat punch scandal as
she calls for better refereeing... and sends message to rival Alyssa Thomas
-
Over a week after the controversy surrounding a flagrant foul that led to
Alyssa Thomas receiving racial abuse and threats to her family, Caitlin
Clark has...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment