Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Port Vale kwenye mchezo wa Raund ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Oleksandr Zinchenko dakika ya 20, Taylor Harwood-Bellis dakika ya 58 na Phil Foden dakika ya 76, wakati bao pekee la Port Vale limefungwa na Tom Pope dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia vs Egypt - World Cup last-32 LIVE: Latest score, team news and
updates as Socceroos take on Mohamed Salah and Co in Dallas
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Australia take on Egypt in a World Cup last-32 clash at the
Dallas Stadi...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment