Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Port Vale kwenye mchezo wa Raund ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Oleksandr Zinchenko dakika ya 20, Taylor Harwood-Bellis dakika ya 58 na Phil Foden dakika ya 76, wakati bao pekee la Port Vale limefungwa na Tom Pope dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea caretaker Calum McFarlane bristles at suggestion he is
underqualified without a Pro Licence - and reveals he has not spoken to
Liam Rosenior about which players let him down in the Brighton debacle
-
OLIVER HOLT: There is a belief among some of the mind gurus and statistics
experts at Chelsea that there is little correlation between the identity of
a cl...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment