Lionel Messi akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Barcelona bao la nne dakika ya 78, kufuatia Luis Suarez kufunga la kwanza dakika ya 27, Arturo Vidal la pili dakika ya 32 na Ousmane Dembele la tatu dakika ya 35 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New England Patriots star is offered biggest contract in team history as
Mike Vrabel desperately tries to keep him
-
Trent McDuffie's four-year contract - following his trade from the Kansas
City Chiefs - currently tops NFL cornerbacks with an average yearly value
of appr...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment