Karim Benzema akishangilia na Eden Hazard baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Granada kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Benzema alifunga bao la kwanza dakika ya pili, Hazard la pili dakika ya 45 na ushei, wakati mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Luka Modric dakika ya 61 na James Rodriguez dakika ya 90 na ushei, wakati ya Granada yamefungwa na Darwin Machis kwa penalti dakika ya 69 na Domingos Duarte dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment