Wachezaji wa Barcelona, Clement Lenglet (kushoto) na Nelson Semedo wakimdhibiti mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zilitoka sare ya1-1, Real Madrid wakitangulia kwa bao la Lucas Vasquez dakika ya sita kabla ya Malcom kuisawazishia Barcelona dakika ya 57 na sasa zitarudiana Februari 27 Uwanja wa Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane bolsters quadruple hopes and Ballon d'Or bid as he fires Bayern
Munich into German Cup final
-
The striker scored his 52nd goal of the campaign as Bayern dispatched Bayer
Leverkusen 2-0 to reach the final of Germany's domestic cup for the first
time ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment