Kocha wa Simba, Mfaransa Pierre Lechantre akifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Stand United ya Shinyanga juzi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 3-3
Pierre Lechantre aliyejiunga na Simba SC mwezi uliopita hakufurahishwa na uchezaji wa timu yake juzi
Pierre Lechantre aliyechukua nafasi ya Mcmeroon, Joseph Marius Omog alilazimika kusimama kuzungumza na wachezaji wake
Huo ulikuwa mchezo wa mwisho kabla ya Simba kumenyana na El Masry ya Misri katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika
Capitals enforcer Tom Wilson sparks nasty brawl in New York loss by going
at Rangers star Adam Fox while his team celebrated Vincent Trocheck's goal
in series-clinching win
-
Washington Capitals forward Tom Wilson did not take too kindly to some
chirping from New York Rangers defenseman Adam Fox and decided to cheap
shot him in ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment