Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi (kulia) akimtoka beki wa Al Masry ya Misri, Ahmed Abdalraof 'Shokry' wa Al Masry anayegalagala chini (kushoto) katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 2-2
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akimuacha chini Mohammed Emam 'Girindo'
Mshambuliaji na Nahodha wa Simba, John Bocco (kulia) akipambana na beki mzaliwa wa Ivory Coast raia wa Burkina Faso, Mohamed Koffi wa Al Masry
Beki wa Al Masry, Amir Mousa akiwa juu kupiga mpira kichwa
Beki wa Simba, Yussuf Mlipili (kulia) akikabiliana na Ahmed Goma (katikati)
Beki wa Simba, Etasto Nyoni akiwa juu kuokoa dhidi ya mchezaji wa Al Masry
Mshambuliaji Mrundi wa Simba, Laudit Mavugo akimiliki mpira ya Mohamed Koffi
Winga wa Simba, Shiza Kichuya akimtoka mchezaji wa Al Masry
Kikosi cha Al Masry kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Simba kabla ya mchezo wa jana
Robert Kraft delivers message to Vladimir Putin over Super Bowl ring at Tom
Brady roast after Russian leader has held it for nearly two decades
-
It's been 19 years since one of the Super Bowl championship rings owned by
Robert Kraft was taken by Russian leader Vladimir Putin. Kraft hasn't
forgotten.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment